Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kocha Fadlu azungumzia ushindani wa namba ndani ya timu

21 Jul 2024

Kocha Fadlu amesema wachezaji mmoja mmoja wanaonyesha uwezo mkubwa na kuwapa matumaini benchi la ufundi na kwa sasa wanahakikisha wanakuwa na utimamu wa mwili.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia kuhusu mechi za kirafiki pamoja na Simba Day.

Advertisement
Back to homepage
Share this story