Kocha Fadlu amesema Leo tutapata nafasi ya kufanya mazoezi ya mwisho na kurekebisha mapungufu yetu ili kesho tufanye vizuri na kuhakikisha tunapata matokeo chanya.
Tazama video hii hadi mwisho Kocha Fadlu amewapongeza wapinzani wetu Constantine kwa mapokezi mazuri waliyotupa.