Kocha Fadlu amesema anafurahi kuwa na kikosi chake kamili kwakuwa ratiba ya mechi zimekuwa zinafuatana kila baada ya siku mbili ndio maana amekuwa akifanya mabadiliko ya mara kwa mara.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia viwango vya wachezaji mmoja mmoja.