Fadlu amesema bado tuna nafasi ya kutwaa ubingwa msimu huu kwakuwa tofauti ya alama iliyopo ni ndogo hivyo tunapaswa kushinda kila mchezo ili kufikia malengo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia mchezo unaofuata dhidi ya Coastal Union.