Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kocha Fadlu afunguka sare dhidi ya Azam

24 Feb 2025

Fadlu amesema bado tuna nafasi ya kutwaa ubingwa msimu huu kwakuwa tofauti ya alama iliyopo ni ndogo hivyo tunapaswa kushinda kila mchezo ili kufikia malengo.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia mchezo unaofuata dhidi ya Coastal Union.

Advertisement
Back to homepage
Share this story