Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kocha Fadlu afunguka baada mchezo dhidi ya Constantine

8 Dec 2024

Fadlu amesema makosa mawili ya haraka tuliyofanya wamewawezesha wapinzani kupata alama tatu muhimu nyumbani na huo ndio mpira wenyewe.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia mipango ya mchezo unaofuata.

Advertisement
Back to homepage
Share this story