Adolf amesema alipoingia uwanjani alijitahidi kuonyesha uwezo wake kwa ajili ya kuthibitisha uwezo wake kwa benchi la ufundi pamoja na mashabiki.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Adolf ameweka wazi kuwa pesa alizopewa na mashabiki ataongezea na aliyopewa na Kibu na kwenda kununua viatu.