Mratibu wa timu, Abbas Ally amesema leo jioni kikosi kitafanya mazoezi ya utimamu wa mwili kujiweka sawa na kesho mchana kitaanza safari ya kurejea nchini na kinatarajia kuwasili jijini Dar es Salaam saa tisa alfajiri ya kuamkia Jumatatu.
Tazama video hii hadi mwisho Abbas amezungumzia kuhusu mchezo wetu unaofuata dhidi ya Jwaneng Galaxy.