Kikosi kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos utakaopigwa Septemba 16.
Tazama hadi mwisho video hii kuona jinsi wachezaji wanavyojifua kujiandaa na mchezo huo.
Kikosi kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos utakaopigwa Septemba 16.
Tazama hadi mwisho video hii kuona jinsi wachezaji wanavyojifua kujiandaa na mchezo huo.