Kijili amesema Bigman walikuwa wazuri kwenye kuzuia mashambulizi pamoja na kufanya yakushtukiza huku wakicheza soka la pamoja kitu ambacho kiliwapa wakati mgumu.
Tazama video hii hadi mwisho Kijili amezungumzia nafasi aliyopewa ya kucheza na Kocha Fadlu Davids.