Kijili amesema kujituma na kwake na kufuata maelekezo ya mwalimu ndipo kinachomfanya kupata nafasi huku akiweka wazi kuendelea kufanya jitihada ili kuisaidia timu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kijili amezungumzia pia kuhusu mechi inayofuata dhidi ya Coastal Union.