Kibu amesema licha matokeo ya sare ya mabao 2-2 kutokuwa kwenye mipango ya timu lakini tunamshukuru Mungu kwa hilo na tunaenda Cairo, Misri kwa ajili ya marudiano tukiwa tayari kwa mapambano.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kibu amezungumzia vipia kuhusu mechi yenyewe ilivyokuwa.