Kibu amesema mchezo utakuwa mgumu na kila mmoja analijua hilo lakini tumejiandaa vizuri kuhakikisha tunawapa furaha Wanasimba waliokuja Morocco kutupa sapoti pamoja na wale waliobaki nyumbani Tanzania.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kibu ameweka wazi azma yake ya kutaka kufunga kwenye mchezo wa leo.