Kibu amesema kipaji chake cha soka kilijulikana tangu akiwa mtoto ambapo alianza kuonekana kwenye michuano ya Shule za Msingi (UMITASHUNTA) pamoja na timu yake ya mtaani.
Fuatilia hadi mwisho kuona mahojiano aliyofanya Kibu na Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu, Ahmed Ally ili kuweza kumfahamu kwa undani nyota huyu.