Kibadeni amesema tulitoka sare mchezo wa kwanza ugenini kwahiyo mechi ya marudiano nyumbani kila mtu aliamini tunaweza kushinda bila wasiwasi na tayari maandalizi ya kusherehekea ubingwa yalikuwa makubwa kuliko ya uwanjani kitu ambacho kilipelekea kushindwa kufikia malengo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kibadeni amefunguka mambo mengi ya zamani lakini pia amezungumzia mchezo wa kesho wa fainali dhidi ya RS Berkane.