Simba Sports Club
News

VIDEO: Kennedy awatuliza mashabiki, Robertinho afunguka kufuzu makundi Afrika

3 Oct 2023

Kennedy amesema mchezo dhidi ya Power Dynamos ulikuwa mgumu na kwa hali yoyote tulitakiwa kushinda au kupata sare bila kujalisha tumechezaje na mashabiki wanapaswa kuelewa.

Nae kocha Mkuu, Roberto Oliviera 'Robertinho' amesema baada ya kufanikiwa kufuzu makundi sasa tunajipanga kwa hatua inayofuata.

Advertisement

Tazama mahojiano haya hadi mwisho ili kuona mipango ya timu ilikuwaje kabla ya mchezo.

Back to homepage
Share this story