Katika droo hiyo, Simba imepangwa Kundi C pamoja na Raja Casablanca, Horoya na Vipers.
Mgunda amesema kila timu tuliyopangwa nayo ni bora na tutajipanga vizuri kuhakikisha tunapata matokeo mazuri iwe nyumbani au ugenini.
Advertisement
Tumekuekea hapa mahojiano na mwalimu