Pantev amesema ana siku 10 za kuiandaa timu kabla ya kuelekea mchezo wa hatua ya kwanza na anaamini uwezo wa wachezaji waliopo wataweza kusaidia kufikia malengo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Pantev amefungua mengi jinsi alivyoifuatilka Simba mpaka alipokubali kujiunga nasi.