Simba Sports Club
News

VIDEO: Kauli ya kwanza ya Maema baada ya mchezo

27 Aug 2025

Maema amesema ushindi wa mabao 2-0 tuliopata dhidi ya Wadi Degla SC umeongeza hali ya kujiamini kwa wachezaji na kilikuwa kipimo sahihi huku alifurahishwa na kiwango kilichoonyeshwa.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Maema amezungumzia jinsi msimu utakavyokuwa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story