Morocco amesema amepata muda wa kuzungumza na wachezaji mmoja mmoja na kuwaeleza kuwa wana viwango bora na wanaweza kufikia malengo tuliyojiwekea hivyo wanatakiwa kupunguza presha.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Morocco amezungumzia pia kuhusu mchezo wetu wa marudiano dhidi ya Gaborone United wikiendi ijayo.