Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kauli ya Kocha Fadlu kabla ya timu kuelekea Misri

28 Mar 2025

Fadlu amesema matokeo yoyote yatakayotokea nchini Misri bado hayataamua nani aende nusu fainali ndio maana tumejiandaa kuhakikisha tunapata bao la ugenini na kujilinda ili tusirihusu mabao mengi

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Fadlu ametoa kauli kuhusu timu kushindwa kufika nusu katika misimu mitano mfululizo mfululizo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story