Kocha Fadlu amesema kipindi cha kwanza tulistahili kwenda mapumziko tukiwa mbele kwa mabao matatu lakini hatukuweza kuzitumia vizuri nafasi tulizopata.
Tazama video hii hadi mwisho Kocha Fadlu amewapongeza pia mashabiki huku akizungumzia mwaliko wa Rais Dkt. Hussein Mwinyi.