Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kauli ya Kocha Fadlu baada ya ushindi dhidi ya APR

4 Aug 2024

Fadlu amesema tumekuwa na wiki tatu za maandalizi ngumu kule Misri na tumerejea tumekutana na mechi ngumu ndio maana miguu ya wachezaji imekuwa migumu hasa kipindi cha kwanza.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Fadlu amezungumzia pia mchezo unaofuata wa Nusu Fainali ya Ngao ya Jamii.

Advertisement
Back to homepage
Share this story