Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kauli ya Kocha Basigi kuelekea mchezo dhidi ya Mlandizi

8 Oct 2024

Kocha Basigi amesema anafahamu utakuwa mchezo mgumu lakini malengo yetu ni kuhakikisha tunaibuka na ushindi kwenye kila mchezo tukiwa mabingwa Watetezi

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kocha Basigi amefunguka mengi kuhusu mchezo wa kesho.

Advertisement
Back to homepage
Share this story