Benchikha amesema haitakuwa rahisi kutokana na kucheza timu iliyo kileleni tena ikiwa nyumbani lakini tumejiandaa kukabiliana na mazingira tutakayokutana nayo.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Benchikha ameongelea pia hali ya kiungo mshambuliaji Willy Onana na mlinda mlango Ayoub Lakred.