Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kauli ya Awesu baada ya kufika Zanzibar

1 Jan 2026

Awesu amesema mara zote anakuja Zanzibar anajisikia mwenye furaha na yupo tayari kuonyesha uwezo wake chini ya Kocha Mkuu Steve Barker ili kuisadia timu kupata matokeo chanya.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Awesu amezungumzia pia hali ya kikosi kilivyo mpaka sasa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story