Ahmed amesema kikosi kimefika katika Jiji la Casablanca ambapo kitaweka kambi ya siku mbili kabla ya Ijumaa kuelekea mji wa Oujda ambapo mchezo wetu utapigwa.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed ametoa ratiba nzima ya timu kwa muda wote itakakapokuwa nchini Morocco.