Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Karabaka afunguka alichoambiwa na Bocco kabla ya kuingia uwanjani

1 Jan 2024

Karabaka amesema alivyoingia alifuata maelekezo aliyopewa na mwalimu pamoja na ushauri wa nahodha ndio maana akifunga bao pamoja na kucheza vizuri.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Karabaka amezungumzia mpia kuhusu mipango yake.

Advertisement
Back to homepage
Share this story