Kapombe amesema utakuwa mchezo mgumu hasa ukizingatia tutakuwa ugenini lakini kutokana na maandalizi tuliyoyaanza tuna matumaini makubwa ya kufanya vizuri.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kapombe amezungumzia nafasi ya kufuzu na kutinga robo fainali.