Kapombe amesema msimu wa Ligi 2023/24 utakuwa mgumu na timu zote zimejiandaa vizuri lakini sisi tuna kikosi imara zaidi.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya, Kapombe amefunguka mengi ikiwemo usajili wa wachezaji wapya tuliowasajili.
Kapombe amesema msimu wa Ligi 2023/24 utakuwa mgumu na timu zote zimejiandaa vizuri lakini sisi tuna kikosi imara zaidi.
Tazama hadi mwisho mahojiano haya, Kapombe amefunguka mengi ikiwemo usajili wa wachezaji wapya tuliowasajili.