Kapombe amesema mara zote Prisons wamekuwa wagumu kila tunapokutana lakini leo tumefanikiwa kutokana na kufuata maelekezo ya walimu.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kapombe amezungumzia pia tuzo yake ya mchezaji bora wa mechi, pamoja na sapoti iliyotolewa na mashabiki kwa kinda Ladaki Chasambi.