Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kapombe aelezea hali ya kikosi nchini Angola

6 Feb 2026

Kapombe amesema morali za wachezaji zipo juu huku akiweka wazi pia kuwa mechi za Ligi ya Mabingwa zilizobaki tutazitumia kama maandalizi ya michezo ya Ligi Kuu ya NBC.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Kapombe amefunguka mengi kuelekea mchezo wa kesho.

Advertisement
Back to homepage
Share this story