Simba Sports Club
News

VIDEO: Kapombe, Abdallah wafunguka kupangwa na Al Ahly AFL

4 Sep 2023

Kapombe amesema utakuwa mchezo mgumu kutokana na historia na ubora wa Al Ahly lakini maandalizi tunayoendelea nayo yanazidi kutuimarisha.

Kwa upande wa Abdallah amesema ili kuwa bora lazima ukutane na walio bora kama wewe hivyo tupo tayari kwa mchezo huo.

Advertisement

Tazama mahojiano haya hadi mwisho kuona walichosema nyota hawa muda mfupi baada ya kumalizika kwa mazoezi.

Back to homepage
Share this story