Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kamishna wa ZRA akabidhiwa jezi yake ya Mnyama

13 Jan 2024

Baada ya kukabidhiwa jezi hiyo Bwana Mwenda ameupongeza Uongozi wa klabu kwa kutangaza Utalii wa Zanzibar kwakuwa tunasaidia kuongeza pato la taifa moja kwa moja.

Tazama video hii hadi mwisho uone jinsi viongozi hao walichozungumza.

Advertisement
Back to homepage
Share this story