Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Kagoma Ushindani wa namba ni mkubwa kikubwa kupambana

26 Jul 2024

Kagoma amesema suala la kugombania namba lipo kwenye kila timu na hilo halimpi shida atapambana ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi.

Akizungumzia msimu ujao wa Ligi 2024/25 Kagoma amesema anaamini tutafanya vizuri kutokana na ubora na uimara wa kikosi tulionao.

Advertisement
Back to homepage
Share this story