Kagoma amesema suala la kugombania namba lipo kwenye kila timu na hilo halimpi shida atapambana ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi.
Akizungumzia msimu ujao wa Ligi 2024/25 Kagoma amesema anaamini tutafanya vizuri kutokana na ubora na uimara wa kikosi tulionao.