Simba Sports Club
News

VIDEO: Joash aitaja Wydad, Azam msimu wa 2022/23

4 Jun 2023

Joash amesema mechi ya Wydad ilipaswa kupata ushindi ili tuingie nusu fainali lakini ilishindikana kama ilivyokuwa dhidi ya Azam kwenye (ASFC) kitu ambacho kimetuangusha.

Fuatilia hadi mwisho mahojiano aliyofanya mlinzi huyu kuhusu msimu mzima na mechi mbili zilizosalia dhidi ya Polisi Tanzania na Coastal Union.

Advertisement
Back to homepage
Share this story