Ahmed amesema bao la kusawazisha lililofungwa na Nangu lilikuwa muhimu na limeweza kuturudisha mchezoni na kufanikiwa kupata ushindi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia mchezo mzima ulivyokuwa na ratiba nzima ya timu.
Ahmed amesema bao la kusawazisha lililofungwa na Nangu lilikuwa muhimu na limeweza kuturudisha mchezoni na kufanikiwa kupata ushindi.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia mchezo mzima ulivyokuwa na ratiba nzima ya timu.