Ahmed amesema uzinduzi huo utakuwa Mubashara kwenye mitandao yetu yote ya kijamii pamoja na wadhamini wetu Azam TV na muda huo huo zitaanza kupatikana kwenye maduka ya Sandaland.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu zoezi la hamasa kuelekea mchezo wetu wa kwanza dhidi ya Bravo pamoja na viingilio.