Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu Ahmed Ally amesema Inonga amerudi Dar es Salaam kwa ajili ya kufanyiwa kipimo cha MRI ili kujua ukubwa wa tatizo na kuanza matibabu mara moja.
Tazama Mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia pia kuhusu timu kufika jijini Tanga na malengo ya klabu kwa msimu huu.