Ahmed amesema tunaenda kukutana na Azam ikiwa wametoka kutufunga kwenye Ligi lakini hii ni michuano mingine na hatutabadili chochote badala yake tutacheza kwa mipango yetu na kuwaamini vijana.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amechambua viwango vya wachezaji mmoja mmoja mpaka sasa.