Hamza amesema kipindi cha pili walivyoingia vyumbani walielekezana na kucheza kwa malengo na tulivyopata bao ilibidi tutumie muda mwingi kulilinda.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Hamza amezungumzia pia siri ya kiwango chake kuimarika siku hadi siku.