Simba Sports Club
News

VIDEO: Hamza aitaja Fainali Kombe la Shirikisho Afrika

19 Jan 2025

Hamza amesema tumetinga Robo Fainali na kuongoza kundi sasa ni kujiandaa kwa hatua za mbele zaidi ikiwemo kutwaa taji lenyewe.

Tazama video hii hadi mwisho Hamza amekiri kuwa haikuwa mechi rahisi licha ya ushindi wa mabao 2-0 tuliopata.

Advertisement
Back to homepage
Share this story