Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Geita walijiamini baada ya kupata bao la mapema

21 May 2024

Ahmed amesema ilifika kipindi Geita ikajiona ipo sawa na Simba na walipo jisahau ndipo walipoanza kuruhusu mabao na kutupa ushindi mnono ambao tulikuwa tunauhitaji.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Ahmed amezungumzia viwango vya Saido Ntibazonkiza na Ladaki Chasambi kwenye mchezo wa leo.

Advertisement
Back to homepage
Share this story