Fred amesema maisha yake ya soka yalianzia katika Uwanja wa Maracana ambao umewatoa wachezaji wengi kutoka Ivory Coast akiwemo nyota wazamani wa Manchester City, Wilfred Bony.
Tazama mahojiano haya mpaka mwisho Fred amezungumzia maisha yake yote ya soka mpaka alipojiunga na kikosi chetu.