Fadlu amesema baada ya kufanikiwa kurejea kileleni mwa msimamo tunatakiwa kuwa na muendelezo kuhakikisha tunapata alama tatu kwenye kila mchezo ili kutimiza malengo yetu tuliyojiwekea.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho Fadlu amewapongeza mashabiki kwa kumuonyesha sapoti kubwa Ladaki Chasambi.