Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Dkt. Kagabo azungumzia hali ya majeraha ya Kibu

4 Feb 2025

Dkt. Kagabo amesema leo Kibu atapatiwa matibabu ya awamu ya pili ambayo ndiyo yatatoa mwanga kama atakuwa tayari kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya Fountain Gate FC.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Dkt. Kagabo amezungumzia hali za kiafya za wachezaji wengine.

Advertisement
Back to homepage
Share this story