Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: Dkt. Kagabo aelezea hali ya majeruhi kikosini

12 Jun 2025

Mlinda mlango Moussa Camara, walinzi Valentine Nouma na Che Fondoh Malone pamoja na kiungo Mzamiru Yassin ambao walikuwa majeruhi wamerejea na wanafanya mazoezi pamoja na wenzao.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho Dkt. Kagabo amezungumzia hali halisi ya kikosi mpaka sasa.

Advertisement
Back to homepage
Share this story