De Reuck amesema jambo la kufurahisha ni kufunga na kuisaidia timu kupata pointi tatu muhimu huku tukiwa hatujaruhusu bao lolote.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, De Reuck amezungumzia pia mchezo unaofuata wa hatua ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika.