Simba Sports Club
News Videos

VIDEO: De Reuck afunguka furaha ya kufunga bao lake la kwanza

26 Sep 2025

De Reuck amesema ni jambo la kufurahisha ni kuisadia timu kupata matokeo chanya nakupata alama tatu kwenye mchezo wa kwanza wa Ligi.

Tazama mahojiano haya hadi mwisho De Reuck amezungumzia mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Gaborone United siku ya Jumapili.

Advertisement
Back to homepage
Share this story