Mtendaji Mkuu wa Klabu Imani Kajula amesema tumekuwa na ushirikiano mkubwa na CRDB ndio maana kwa mara nyingine wameendelea kuwa sehemu ya Wadhamini wetu.
Tazama video hii hadi mwisho, Kajula amezungumzia pia kupatikana kwa jezi za msimu huu katika Ofisi za CRDB.