Simba Sports Club
News

VIDEO: Che Malone asimulia alivyochapwa bakora na wazazi kisa mpira

20 Jul 2023

Che Malone amesema kipindi hicho alikuwa anacheza mpira kwa kujiiba hadi alipofika Sekondari na baadae Chuo Kikuu ndipo alianza kutandaza soka hadharani.

Tazama hadi mwisho mahojiano haya ili ujue mambo mengi kuhusu 'Kitasa' huyu Mcameroon na mipango yake ya baadae kwenye kikosi chetu.

Advertisement
Back to homepage
Share this story